Du'a Al-Faraj | Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam, Tanzania iliyohudhuriwa na Ayatollah "Reza Ramezani" + VIDEO
25 Aprili 2025 - 16:32
News ID: 1552131
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Du'a Al-Faraj Reappearance Supplication / Dua ya Al-Faraj (دُعَاء ٱلْفَرَج) - ya kuomba kudhiri kwa Haraka kwa Imam wa Zama (a.r.f.s) iliyosomwa katika Chuo cha Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam, Tanzania, ikihudhuriwa na Hojjat Al-Islam wal Muslimin, Ayatollah "Reza Ramezani", Katibu Mkuu Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s).
Your Comment